0
NCHI YA KIDEMOKRASIA YA KONGO VITA YA WENYEWE KWA WENYEWE IMEZUKA KANANGANCHI YA KIDEMOKRASIA YA KONGO VITA YA WENYEWE KWA WENYEWE IMEZUKA KANANGA

Ghasia za siku mbili katika mji wa Jamhuri ya kidemorasi ya Congo zimesababisha vifo vya watu 10. Vikosi vya usalama Kananga vimekabiliana na wapiganaji wanaotaka kulipiza kisasi mauaji ya kiongozi wao aliyeuawa na jeshi mwezi Agosti, maafisa na vyo…

Read more »

0
RAISI MAGUFURI AJARIBIWA AMTUPA LUPANGO MHADHIRI CHUO KIKUURAISI MAGUFURI AJARIBIWA AMTUPA LUPANGO MHADHIRI CHUO KIKUU

  Mhadhiri wa Chuo Kikuu Kishiriki cha Elimu cha Mkwawa (Muce), Dk Oscar Magava (48). Dk Magava amekuwa mtu wa ku…

Read more »

0
JAKAYA MRISHO KIKWETE AZIDI KUNG'ARA KIMATAIFA JAKAYA MRISHO KIKWETE AZIDI KUNG'ARA KIMATAIFA

Shirika lisilo la  Kiserikali    laSpeak  Up for Afrika    limemtunukia tuzo, Rais Mstaafu Jakaya Mrisho Kikwete kutokana na uongozi wake wa kisiasa na utetezi wake  kwa  makundi ya jamii yaliyo katika mazingira magumu hususani wanawa…

Read more »

0
MADEREVA WA MALORI  WALIOTEKWA NYARA  KONGO WAOKOLEWA NA VIKOSI VYA JESHIMADEREVA WA MALORI WALIOTEKWA NYARA KONGO WAOKOLEWA NA VIKOSI VYA JESHI

Madereva wa malori kutoka Tanzania waliokuwa wametekwa katika nchi ya Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo hatimaye wameokolewa na vikosi vya jeshi la nchi hiyo. …

Read more »

0
MALORI 12 YAMETEKWA NA MADEREVA WAMETEKWA DRC KONGOMALORI 12 YAMETEKWA NA MADEREVA WAMETEKWA DRC KONGO

Serikali imepokea taarifa za kutekwa kwa malori 12 katika eneo la Namoyo Jimbo la Kivu Kusini, Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo, jana tarehe 14 Septemba 2016. Kati ya malori hayo na …

Read more »

0
MUGABE MPAKA ANYOSHE MIKONO JUU HALI YA ZIMBABWE KIUCHUMI NI MBAYA ACHUKUA HATUA MBAYAMUGABE MPAKA ANYOSHE MIKONO JUU HALI YA ZIMBABWE KIUCHUMI NI MBAYA ACHUKUA HATUA MBAYA

Patrick Chinamasa Waziri wa fedha wa Zimbabwe ametangaza kwamba serikali itafuta ajira 25,000 katika sekta ya h …

Read more »

0
KENYA KIMENUKA MAANDAMANO YA WAANDISHI WA HABARIKENYA KIMENUKA MAANDAMANO YA WAANDISHI WA HABARI

Waandishi wa habari nchini Kenya wameandamana hii leo kupinga kile wanachosema ni K kuongezeka kwa "mazingira hatarishi ya kazi". Maandamano hayo yaliyofanyika jijini Nairobi y aliy …

Read more »

0
KENYA WATUPIGA GAP KIMAENDELEO KIWANDA CHA MAGARI KUANZISHWAKENYA WATUPIGA GAP KIMAENDELEO KIWANDA CHA MAGARI KUANZISHWA

Kenya imetia saini makubaliano na kampuni ya Volkswagen ya Afrika Kusini ili kutengeza magari hayo katika taifa hilo la Afrika Mashariki ,kulingana na taarifa ya serikali. Volkswagen imeing …

Read more »

0
RAISI ROBERT MUGABE AONYA MAHAKAMA NCHINI ZIMBABWERAISI ROBERT MUGABE AONYA MAHAKAMA NCHINI ZIMBABWE

Rais Robert Mugabe wa Zimbabwe, amewalaumu mahakimu wanaoruhusu maandamano dhid …

Read more »

0
TAZAMA PICHA MBALI MBALI ZA MTANZANIA ALIYEFUNGUA CHUO MAREKANITAZAMA PICHA MBALI MBALI ZA MTANZANIA ALIYEFUNGUA CHUO MAREKANI

 Balozi wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania nchini Marekani na Mexico, Mhe. Wilson Masilingi akisikiliza maelezo kutoka mmoja ya walimu wa darasa la utgawaji utumiaji …

Read more »

0
MVURUGANO KANISANI DONALD TRUMP NA WATU WEUSI MAREKANIMVURUGANO KANISANI DONALD TRUMP NA WATU WEUSI MAREKANI

Mgombea wa urais nchini Marekani Donald Trump amezuru kanisa moja la watu weusi mjini Detroit ameongelea kuhusu ubaguzi wa atu weusi marekani ikiwa ni miongoni mwa njia za kumshinda mgombe …

Read more »

0
TAZAMA VIDEO; DONALD TRUMP ATOA HOTUBA KANISANI KWA WATU WEUSI NCHINI MAREKANITAZAMA VIDEO; DONALD TRUMP ATOA HOTUBA KANISANI KWA WATU WEUSI NCHINI MAREKANI

WATCH HERE …

Read more »

0
MUGABE WAZIMBABWE AFARIKI KWA KIHARUSIMUGABE WAZIMBABWE AFARIKI KWA KIHARUSI

Rais wa Zimbabwe Robert Mugabe amepuuzilia mbali taarifa za hivi karibu za uvumi juu ya afya yake, kwa kutoa mzaha kwamba alikufa na akafufuka. …

Read more »

0
MCHUNGAJI AJITANGAZA ANASHIRIKI MAPENZI YA JINSIA MOJAMCHUNGAJI AJITANGAZA ANASHIRIKI MAPENZI YA JINSIA MOJA

Askofu mmoja wa kanisa la kianglikana nchini Uingereza amekuwa wa kwanza kutangaza h …

Read more »

0
KONDOMU ZENYE LADHA ZA ZINDULIWA SOUTH AFRICAKONDOMU ZENYE LADHA ZA ZINDULIWA SOUTH AFRICA

Naibu wa rais nchini Afrika Kusini alichukua fursa bungeni wakati ambapo rais wa taifa hilo Jacob Zuma alikuw …

Read more »

0
UN YATOA TAMKO VURUGU ZA KISIASA ZINAZOENDELEA GABONUN YATOA TAMKO VURUGU ZA KISIASA ZINAZOENDELEA GABON

Gabon baada ya fujo kuzuka kuhusiana na utata kuhusu matokeo ya uchaguzi wa urais. Baraza la Usalama la umoja huo limetoa wito kwa wagombea wakuu na wafuasi wake kujizuia kufanya uchokozi na kutatua mzozo wa sasa kupitia njia za kisheria. Maafisa wa…

Read more »

0
MAGUFURI AWAKARIBISHA SUDAN AFRIKA MASHARIKIMAGUFURI AWAKARIBISHA SUDAN AFRIKA MASHARIKI

Mhe. Dkt. John Pombe Magufuli, Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Mwenyekiti wa Jumuiya ya Afrika Mashariki kwa pamoja na Mhe. Salva Kiir Mayardit, Rais wa Jamhuri ya Sudan Kusini wamesaini Mkataba wa kuiwezesha Jamhuri ya Sudan Kusini kuwa …

Read more »

0
UTURUKI UMETOKE MLIPUKO NA UMEUA WATUUTURUKI UMETOKE MLIPUKO NA UMEUA WATU

Gavana wa Istanbul, Uturuki, anasema watu wanne wameuwawa katika mripuko wa bomu kufuatia shambulio la kujitolea mhanga kat …

Read more »

0
KOREA KASIKAZINI YA LIPUA MABOMU MAWILI YA KINYUKILIA KUTISHIAKOREA KASIKAZINI YA LIPUA MABOMU MAWILI YA KINYUKILIA KUTISHIA

Korea ya kaskazini  imerusha makomboro ya bahari ambayo ni ya …

Read more »

0
RWANDA NA TANZANIA WANAHARIBU UCHAGUZI UGANDA KISA MUSEVENRWANDA NA TANZANIA WANAHARIBU UCHAGUZI UGANDA KISA MUSEVEN

Mgombea wa urais katika uchaguzi ujao nchini Uganda, Amama Mbabazi amedaia kuwa kundi la raia wa kigeni wamekuwa wakisafirishwa hadi nchini humo kwa ajili ya kumpigia kura Rais Yoweri Museveni.Mbabazi ambaye ni mgombea …

Read more »
 
 
Top