1

Siku moja baada ya Rais John Magufuli kuzuia usafirishaji wa mchanga wa madini kwenda kuuchenjua nje ya nchi akitaka shughuli hizo zifanyike nchini, imeelezwa kuwa utekelezaji wa dhamira hiyo utachukua muda mrefu kutokana na mchakato wake.

Juzi, Rais Magufuli alinukuliwa na vyombo vya habari wilayani Kahama akisema katika uongozi wake hataki kuona mchanga huo ukisafirishwa.

Alisema katika nchi zote zenye madini, Tanzania ndiyo pekee inayosafirisha mchanga kwenda nje hivyo akaagiza shughuli hiyo ifanyike nchini.

Agizo hilo limekuja wakati utafiti juu ya uwezekano wa Tanzania kuwekeza katika mtambo wa kuchenjua mchanga wa dhahabu ya uliofanywa na Wakala wa Ukaguzi Madini Tanzania (TMAA) Februari 2011, ukionyesha kuwa ni uwekezaji unaohitaji fedha nyingi. 
Ripoti hiyo ilisema gharama za usimikaji mtambo kamili wenye uwezo wa kuchenjua wastani wa tani 150,000 kwa mwaka, ingeweza kufikia Dola za Marekani 500 milioni hadi Dola 800 milioni (sawa na Sh1.1 trilioni hadi Sh1.74 trilioni za sasa).

Ripoti hiyo ambayo ilikuwa na lengo la kuangalia uwezekano wa kuchenjua mchanga unaosafirishwa na kampuni ya Acacia inayomiliki migodi ya dhahabu ya Buzwagi na Bulyanhulu, ilieleza kuwa baadhi ya mataifa yanayosafirisha mchanga huo kwenda Japani na China ni Chile, Indonesia, Peru, Marekani, Australia na Canada.

Kwa mujibu wa ripoti hiyo, mgodi wa Barrick (sasa Accacia) huzalisha na kusafirisha kati ya tani 25,000 na 50,000 za mchanga huo kwa mwaka ili kuchuja kiwango cha madini yaliyomo.

Akitoa maoni yake binafsi kuhusu agizo hilo, Makamu wa Rais wa Acacia, Deo Mwanyika alisema msimamo wa Rais Magufuli ni sahihi lakini utekelezaji wake utahitaji maandalizi kutokana na ukubwa wa gharama za uwekezaji wa mtambo huo.

Huku akisisitiza kuwa maoni hayo ni yake binafsi, Mwanyika alisema ipo haja ya Serikali na sekta binafsi kukaa pamoja kwa ajili ya kujadili shughuli za uwekezaji huo hapa nchini.

“Nimemsikiliza Rais na nimemwelewa dhamira yake lakini hajamaanisha amezuia rasmi, haiwezekani kuzuia ghafla shughuli hizo. Pia sisi (wazalishaji) ni tofauti kabisa na sekta hiyo ya uchenjuaji, kwa hiyo itabidi kujadili nani awekeze, upatikanaji wa mikopo itakuwaje na mambo mengi yanayohusiana,” alisema.

Serikali iliwahi kulieleza Bunge wakati ikijibu swali la aliyekuwa Mbunge wa Kahama, James Lembeli, Aprili 2007 kuwa suala hilo ni la kisera kwa kuwa wawekezaji wameruhusiwa na Serikali ilikwishajitoa kwenye biashara.

Akijibu swali hilo ambalo Lembeli alitaka kujua kwa nini mtambo huo usijengwe nchini, aliyekuwa Naibu Waziri wa Nishati na Madini, Lawrence Masha alisema hali hiyo imetokana na Serikali kukosa wawekezaji au wawekezaji kuchelewa kufanya hivyo hapa nchini.

Masha alilishauri Bunge lishirikiane na Serikali kuendelea kuwakaribisha na kuwashawishi wawekezaji kuja kuwekeza katika mtambo huo wa kuchenjua mchanga, akibainisha kuwa uwekezaji huo unahitaji mtaji mkubwa.

Miaka kadhaa iliyopita, aliyekuwa Mkurugenzi wa Ukaguzi, Uzalishaji na Biashara ya Madini wa Wakala wa Ukaguzi wa Madini Tanzania (TMAA), Liberatus Chizuzu alikaririwa akisema  kuwa gharama za uwekezaji wa mtambo huo ni kubwa ikilinganishwa na thamani ya mapato yanayopatikana kupitia uchenjuaji wa madini yaliyopo.

Chizuzu alisema miongoni mwa masharti ya uwekezaji wa mtambo huo ni upatikanaji wa umeme wa uhakika, jambo ambalo ni changamoto hapa nchini.

Lisu  ampa somo
Juzi, Mbunge wa Singida Mashariki, Tundu Lissu alitoa angalizo kuhusu hatua hiyo ya Rais akisema Kwa kuzingatia kwamba wawekezaji hao wanalindwa kisheria na kimkataba.

Mwanasheria huyo mkuu wa Chadema alisema kwa mujibu wa Sheria ya Madini na Mikataba ya Uendelezaji Madini (MDA), madini yote yanayochimbwa  ni mali ya wawekezaji.

Alisema kwa kuzingatia kwamba wawekezaji hao wanalindwa kisheria na kimkataba, hatua hiyo inaweza kuwafanya wawekezaji hao kwenda mahakama za usuluhishi za kimataifa.

Alisema Rais alitakiwa kufanya kama mwenzake, Evo Morales wa Bolivia ambaye nchi yake ilikuwa na mikataba kama ya Tanzania lakini alipochaguliwa Desemba, 2006 aliiondoa kwanza kwenye mikataba hiyo iliyokuwa inailazimisha kuingia kwenye migogoro ya uwezekaji na baada ya hapo ndipo akabadilisha sheria na mikataba ya uwekezaji iliyoipa Bolivia sehemu kubwa ya umilikaji wa gesi na mafuta ya nchi yake.

Post a Comment

  1. SAFARI YAKO YA MAFANIKIO UTAJIRI NA RIZIKI ZAKO ZIMESIMAMA NA KUZINASUA UWEZE KUSONGA MBELE SOMA KWA UMAKINI UWEZE KUIJUA SIRI HII.

    KATIKA SAFARI YA MAFANIKIO TUNAPITIA MENGI ILI TUWEZE KUFANIKIWA LAKINI WENGI WETU KUNA MAMBO MACHACHE SANA WENGI WETU TUNAYADHARAU NA KUMBE NDIO CHANZO CHA MAFNIKIO YETU.

    N.B KWA WALE WAHITAJI WA PESA ZA NDAGU au MAJINI kwa mudamfupi nipigie DOKTA MDIRO +255 742162843
    MALIPO NI BAADA YA KUFANIKIWA PIA UMBALI POPOTE ULIPO KENYA,UGANDA, OMAN, CONGO RWANDA N.K
    WOTE NAWAKARIBISHA.

    (kuhusu utajiri au pesa) KABLA YA KUPIGA SIMU ZINGATIA YAFUATAYO
    1. uwe una umri wa miaka 18+
    2. uwe tayari kupokea masharti yote
    3.uwe na uwezo wa kutunza siri
    4. uwe jasiri wa kupokea taarifa yoyote
    KARIBU SANA KWA SHIDA NYINGINE PIA ULIYONAYO AMBAYO SIJATAJA INSHAALAH ITATATULIWA IKIWA NDANI YA UWEZO WANGU.(HUSITUME SMS PIGA SIMU KUHEPUKA MATAPELI)

    HAYA NI MAMBO 7 YAKUZINGATIA KATIKA SAFARI YAKO YA MAFNIKIO

    i) Wazazi wako wakiwa wamekulea mpaka ukawa mkubwa wafumbua macho unawaona akikisha usiwafanye wakajuta kukuzaa asilimia kubwa wazazi wanakuwa na tabu sana ila zile tabu zao ndio zinazokufanya wewe una aminiwa na watu na unaeshimika na kujieshimu

    Kwaiyo jitahidi sana kuwa nao vizuri kuna wengi maisha yao wanaishi kwa shida chanzo ni utofauti baina ya wazazi wao

    Ukiona wazazi wako wanatabu sana usiwajibu vibaya wewe kaa nao mbali ila wape majukumu yao unacho fanya kuwaona nakurudi ulipo apo utaona mambo yako yatakuwa vizuri sana

    ii) JAMBO LA PILI
    Akikisha unatunza uzao wako yani ukijua ni mtoto ni wako basi jitahidi sana kutoa uduma ata kidogo ulicho nacho lakini udumia usiache uzao wako unateseka na njaa wewe una kula maisha aisee fahau

    Kila mtoto wako anavyo kuwa ndio mambo yako yanaaribika usipo udumia kwaiyo ukiwa waitaji kufanikiwa zaidi jali uzao wako

    iii) JAMBO LA TATU
    ukiwa umeoa au umeolewa usitoe talaka au kuomba talaka kabla mwenzio ayupo tayari kwa muda huo fahamu ukiomba talaka au akikupa talaka bila bila sababu ya msingi yeye tu ana matamanio ya kidunia basi anamuda atapoteza muelekeo wa maisha yake

    iv) UKIWA WAPATA PESA
    ukiwa wapata pesa alafu utoi sadaka basi kufikia kwenye ukuu utachelewa sana mana mana pesa badala ya kutoa kwa iyari yako utatoa kwa matatizo kwaiyo jitahidi icho icho kidogo toa sadaka kwa wenye uitaji

    v) USIMZULUMU MTU
    kama wataka kufika mbali kwenye mafanikio yako usimzulumu mtu ata kwa uchache wa kitu usifanye ivyo itakugarimu kiasi kikubwa

    vi) USIZARAH MILA
    ukiwa kwenu kuna mambo ya mila mzimu tambiko jitahidi kufatilia sana aya mambo yanarudisha nyuma sana usipo yawahi mapema

    vii)USIWE WA NAMNA
    1)ikiwa ujafanikiwa jitahidi sana usiwe mvivu kufanya kazi usiwe muhuni usiwe mwenye chuki na asira zisizo za msingi usiwe na tamaa nyoa vizuri vaa nguo za eshima na usiige maisha ya watu.

    KWA MAWSILIANO ZAIDI KUHUSU MATATIZO MBALIMBALI YA TIBA ASILI NA TIBA MBADALA, PETE MALI ZA NDAGU NA MAJINI N.K

    DOKTA MDIRO Call/whatsup +255 742162843.

    ReplyDelete

 
Top