Zaidi ya viongozi wakuu mia moja wa kanisa la Kianglikana wametia saini barua ya kulitaka kanisa la Uingereza kutubu kwa kuwabagua wakristo wanaoshiriki mapenzi ya jinsia moja, watu wanaoshiriki mapenzi na jinsia zote mbili na wale walio na jinsia mbili.
Barua hiyo inayoelekezwa kwa askofu mkuu wa Canterbury na York, inasema kuwa wakristo hao wamekuwa wakichukuliwa kama raia wa daraja la pili.
Mkutano wa viongozi wa makanisa yote ya kianglikana unaanza hapo kesho nchini Uingereza.
Mkutano huo unatarajiwa kutawaliwa na gumzo kuhusu jinsia huku wanachama wa kanisa hilo ambao wanapinga mapenzi ya jinsia moja sasa wanawataka Waanglikana kutubu kwa kuwatukuza viongozi wa kanisa hilo ambao ni wapenzi wa jinsia moja.
SOURCE BBC
Related Posts
NAPE AKIMBILIA JIMBONI KWAKE KUONGEA NA WANANCHI
Mbunge wa Jimbo la Mtama ambaye pia ni Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo M he. Nape[...]
May 29, 2016CCM MBELE KWA MBELE MWANZA WAZIDI KUITEKA BAADA YA MWENYEKITI WA CHADEMA KUHAMIA CCM
Mwenyekiti wa chama cha Demokrsaia na Maendeleo Chedema mkoa wa Mwanza Andrian Tizeba, le[...]
Apr 16, 2016CCM WACHUKUA JIMBO LINGINE AMBALO WALITANGAZA UPINZANI KUSHINDA ZANZIBAR
Ofisa mdhamini wa Tume ya Uchaguzi Zanzibar (ZEC), Ali Mohammed Dadi amesema mshindi wa uwakili[...]
Mar 24, 2016STEPHANO MWANDIGA KUANZA KUSAKA JIMBO LA MBEYA VIJIJINI KWA KASI YA AJABU
Chaguo la wanambeya vijijini Stephano Mwandiga ametangaza kuendeleza harakati zake za kukomboa mb[...]
Mar 23, 2016TAZAMA VIDEO Mh. EDWARD LOWASSA AKIWA KATIKA UBORA WAKE KAMA Dr MAGUFURI
WATCH VIDEO here DOWNLOAD Here [...]
Mar 09, 2016CUF WAJIBU BAADA YA LIPUMBA KUTANGAZWA KUWA MWENYEKITI
Baada ya kupokea Ushauri huo, The Civic United Front (CUF – Chama Cha Wananchi) kinapenda kueleza[...]
Sep 24, 2016
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Post a Comment
Click to see the code!
To insert emoticon you must added at least one space before the code.