KWA mara ya
kwanza Lugha ya Kiswahili imeingia katika rekodi ya dunia kwa watanzania wanne
kuchomoza katika tuzo ya waandishi ya Fasihi Afrika.
Akizungumza
na waandishi wa habari leo jijini Dar es Salaam, Mshiriki wa Taaluma ya
Kiswahili Chuo Kikuu cha Dar es Salaam, Profesa, Adrian
Mtembei amesema lugha
ya Kiswahili ya kujivunia kutokana na watanzania wenye lugha yao kuwa washindi.
Washindi wa
tuzo hizo ni Enock Maregesi ambaye aliandika Kolonia Santita,Chiristophee
Bubebah, Anna Manyaza aliandika Penzi la Damu, Mohamed Ghassani aliandika N’na
Kwetu.
Walioshiriki
katika tuzo hiyo walikuwa 65 na kuweza kuibuka watu wanne ambao ni washindi
wakitokea nchini na sherehe hizo zilifanyika Nchini Kenya.
Amesema kwa
lugha ya kifaransa na Kiingereza zimekuwa zikijitokeza kila mwaka kwa watu
kuandika riwaya na mashairi lakini Kiswahili imekuwa ikisahaulika hivyo na
kufanya Chuo Cornell Nchini Marekani iliamua kufanya hivyo kuwa watu kuandika
Riwaya na Mashairi.
Katika tuzo
hizo Kampuni ya watengenezaji wa Mabati ya Alaf ilizamini tuzo hizo na kutaka
watu wajitokeze katika kuinua lugha ya Kiswahili duniani.
Afisa Masoko
wa Alaf, Theresia Mmasy amesema kazi wataendelea kushirikiana na watanzania
katika kukuza Kiswahili katika kudhamini tuzo hizo.
Related Posts
DAWA YA MWANAUME ANAYEFIKA MAPEMA KILELENI NA NAMNA YA KUCHELEWA KUFIKA KILELENI
Chanzo ni nini?Tatizo hili halina sababu za kitaalamu zilizofanyiwa utafiti zikakakubalika ila [...]
Sep 24, 2016madhara Ukikaa Muda Mrefu bila Kufanya mapenzi
Ukikaa Muda Mrefu bila Kufanya tendo la Ndoa madhara yake ni kama haya: Hasira za mara kwa mara[...]
Sep 24, 2016HADITHI :MAPITO NA RAHA ZA DUNIA SEHEMU (12-13)
SEHEMU YA 12 Mtunzi. Long live Josephat "Ilipoishia toleo lililopita vibweka vinamkumba hab[...]
Sep 10, 2016HADITHI: MAPITO NA RAHA ZA DUNIA SEHEMU [7-10]
Sehemu ya 7 Mtunzi. Long live josephat Ilipoishia toleo lililopita,......... ..." habiba a[...]
Sep 09, 2016HADITHI: MAPITO NA RAHA ZA DUNIA {1-2}
SEHEMU YA 1 "Maisha huwa magumu pale unapopenda usipo pendwa,lakini huwa magumu zaid pale un[...]
Sep 08, 2016HADITHI :MAPITO NA RAHA ZA DUNIA {3-4}
Sehemu ya 3 Mtunzi. Long live josephat Ilipoishia toleo lilopita, habiba anamdadisi [...]
Sep 08, 2016CUF WAJIBU BAADA YA LIPUMBA KUTANGAZWA KUWA MWENYEKITI
Baada ya kupokea Ushauri huo, The Civic United Front (CUF – Chama Cha Wananchi) kinapenda kueleza[...]
Sep 24, 2016
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Post a Comment
Click to see the code!
To insert emoticon you must added at least one space before the code.