Je, ni hadi muda gani kabla ya kujifungua, ambapo mwanamke mjamzito anaweza kuwa anaingiliwa kimwili na mwenza wake?
Kwa maswali haya na m
(1). Je, ni sahihi kufanya mapenzi ikiwa mwanamke ni mjamzito?
Ndio, hakuna tatizo lolote kwa mwanamke kuendelea kufurahia maisha ya kutiana na mumewe au mpenzi wake wakati anapokuwa yu mjamzito.
Wataalamu wanaeleza kuwa, ikiwa ujauzito ulioubeba haukupi shida yoyote ile na unajisikia uko poa, basi hakuna hatari yoyote ile ikiwa utataka kufanya.
Tatizo pekee ambalo huwa linawakumba wengi wa wanawake wakiwa wajawazito ni kuwa, huwa wanapoteza hamu ya tendo lenyewe wanapokuwa katika hali hii, au kushindwa kumudu kutokana na kujisikia uchovu muda mwingi.
Ingawa pia wapo wanawake ambao wakiwa katika hali hii ndio kwanza, wanakuwa wanajisikia kukereketwa huko kwenye ki**i kupita maelezo, na wanatamani muda wote wafanye mapenzi.
Wapo baadhi ya wanawake ambao wanakuwa wako normal kimwili, lakini kisaikolojia wanakuwa na ile hofu ya kuwa kufanya kunaweza kuwaharibia mimba zao, fikra ambazo huwatoa kabisa katika mstari wa kufurahia tendo hili.
Kwa hiyo, ikiwa mwili wako uko poa, na madaktari wamekwambia kiumbe kinakua bila shaka, na unaweza kwenda kazini, huna haja ya kujibania utamu wa mumeo au kumbania mumeo.
(2). Je, kufanya wakati wa ujauzito kunaweza kusababisha ujauzito kuharibika?
Ila ukweli ni kwamba, kufanya hakuhusiani na kuharibika kwa mimba au kujifungua kabla ya wakati muafaka.
Kwa kawaida, kuharibika kwa mimba hutokana na sababu zingine tofauti kabisa, ikiwa ni pamoja na kizazi cha mwanamke kuwa na matatizo hasa katika kuhimili ukuaji wa kiumbe tumboni na sababu zingine za kimazingira.
Wala sio kwa sababu ya kitu ambacho unakifanya au hukifanyi.
(3). Je, kufanya wakati wa ujauzito kunaharibu au kumdhuru mtoto?
Hakuna namna ambavyo muhogo unaweza kupita na kufika mahali mtoto anapokuwa anakua huko ndani, au zile mbegu kuwa zitapita moja kwa moja na kwenda kumdhuru mtoto.
Kumekuwa na ule msemo wa kuwa kufanya wakati wa ujauzito ni kulea mimba, watu wakiamini kuwa mbegu huwa zinakwenda moja kwa moja kwenye kiumbe.
Dhana hii ni potofu. Kama kilivyo chakula cha kawaida mtu anapokula, ndivyo ambavyo mbegu nazo huwa hivyo.
Kila kitu kwanza lazima kiingie katika mfumo wa kawaida wa usafirishaji wa virutubisho vilivyo sahihi kuelekea kwenye kiumbe husika.
Hii ikimaanisha kuwa mbegu nazo huingia katika mfumo huo huo, huchujwa na kile kinachoonekana kuwa ni kirutubisho kitasafirishwa kwenda kulea kiumbe, ilhali yale makapi lazima yatatoka.
Tofauti pekee hapa ni kuwa, "mbegu za kiume zina protini nyingi", hii ikimaanisha kuwa sehemu kubwa ya kile kinachomwagwa kwenye uke wa mjamzito, kina nafasi ya kutumika kwa ajili ya kuongeza rutuba kwa kiumbe kinachokuaa ndani ya tumbo.
Na nyingine zinaweza kutoka tu zenyewe bila matatizo yo yote.
(4). Ni mikao ipi (staili) ambayo ni mizuri zaidi kuitumia kufanya wakati wa ujauzito?
Ikiwa mwanamke unajihisi uko fresh kuendelea kutumia staili ya mwanzo ambayo mlikuwa mnaitumia na unafikishwa na mwenzio, huku huyo mwenzio naye akiwa yuko ok kuitumia staili hiyo na anaimudu hata unapokuwa na tumbo lako, hakuna shida
Jichumishe mboga, jifanye mbuzi ulogoma kwenda, jifanye namna yoyote ile unayoona uko poa, na mambo yatakuwa vizuri.
Wapo wale watu watundu ambao hugeuza uke kama pulizo na kujitia umahiri wa kutaka kulijaza hewa wakati wa kupeana raha.
Katika mazingira ya kawaida, ikiwa mnafurahia hili, hakuna tatizo, ila wakati wa ujauzito, hii ni hatari kwani inaweza kuleta madhara katika mishipa fulani ndani ya uke, ambayo iko na uhusiano na mishipa ya kuelekea kwenye mji wa uzazi.
Kuhusu ule mtandao wa vijana (Tigo), ambao kwa kawaida hauruhusiwi kutumika, hakuna wakati unaokuwa mbaya zaidi kuutumia kama wakati huu wa ujauzito.
Katika wakati huu, uke wa mwanamke mara nyingi unakuwa sensitive zaidi ya wakati akiwa hana ujauzito, na kuendekeza kuf**ana, kunaongeza hatari ya bakteria kuhamia kwenye uke na kusababisha magonjwa ambayo yatadhuru kiumbe kilichobebwa ndani.
Unaweza tu kuguswa na mwenzako ambaye hakuwa amenawa mikono uzuri na ikakusababishia tatizo fulani, hivyo basi, inashauriwa kutumia kondomu ikiwa:
Na wala kufanyana hakuwezi kuathiri kwa namna yoyote ile muda wako wa kujifungua (kuuchelewesha au kuuwahisha)
(9). Je, kuna tatizo lolote ikiwa huhitaji kufanya?
Kuna mengi mnaweza kufanya bila kuhusisha maingiliano ya kimwili na ambayo yanaweza kumfanya mwanamke kuridhika anapokuwa katika hali hiyo.
Ingawa wapo ambao wanaweza kujihisi wanamudu kushiriki tendo la ndoa kabla, lakini wataalamu wanashauri kuwa wakati mzuri wa kurejea kufanyana na mwenzio baada ya kujifungua, inakuwa ni baada ya kupita wiki sita.
Je nikiwa nime ingiliwa Mala mbili kinyume na maumbile wakati wa mimba Ina kuaje kweny kuzaa
ReplyDeleteNambie mlembo nicheki 0747806581 au email Amirikimbunga85@gmail.com
Delete