Wadau
wangu faida ya kujichua ni ndogo kuliko athali zake! Miongoni mwa faida za
kujichua ni kukojoa kwa h
araka (Kutoa shahawa) Hivyo utaweza kufurahisha nafsi
na mwili. Lakini madhara yake ni makubwa sana kwa baadae! Kwani huathiri
saikologia yako nakuona kupiga punyeto ni kutamu/bora kuliko kuingiliana
kimwili! Mpiga nyeto akidumu na kupiga nyeto, kwa mwanaume atapata madhara ya
kuua uume wake! Kwani mgandamizo wa mkono wake, huwa mkubwa zaidi kuliko
angeingiza katika tupu ya mwanamke! Hivyo misuli 
Na kwa upande wa mwanamke, yeye akiishiriki nyeto
anakuwa sugu hatotosheka/kuridhika akifanywa peke yake, lazima atajichua ili
akojoe, kama siyo hapohapo basi akiondoka kwa mwanaume atafanya hivyo. Mbali na
kuwa sugu pia atakuwa hana hamu yakufanya mapenzi na mwanaume, ndiyo maana
wanawake wengi wanaosagana huwa hawainjoi sana wafanyapo mapenzi na wanaume,
ndiyo maana wana dada zao wakufanya nao starehe zao! Katika madhara kwa
wanawake wanaopiga nyeto, wao watapata maradhi ya moyo (Presha) Watasumbuliwa sana
na kichwa, watasumbuliwa na kiuno, na watalalamika maumivu ya mgongo! Kwa
mwanamke aliezoea kufanya usagaji/kujichua, huona hiyo ndiyo burudani kubwa
kuliko kujamiiana! Hivyo huwadharau wanaume na kuwatukuza wanawake wenzao!
Lakini pia starehe ya kusagana ukiishiriki lazima itakuingiza katika ulevi ili
uinjoi zaidi, hivyo hutumia pesa nyingi kunywa yeye na dada yake, ili wapeane
burudani! Wanakuwa na wivu mkubwa kwa wanawake wenzao kuliko wanaume
Post a Comment