Watu wawili wamefariki  dunia  baada  ya  vurugu  kubwa  kutokea kati  ya wafuasi  wa  CCM  na  CHADEMA  katika  mji  mdogo  wa  Tunduma  Mkoani  Mbeya.
Vurugu  hizo  zimetokea  baada  ya  wanachama wa CCM kuweka mawe barabarani ili wafuasi wa CHADEMA wasipite  kuhudhuria  mkutano  wa  Lowassa. 
Hali hiyo iliwafanya wafuasi wa CHADEMA kushuka ili kutoa mawe hayo, ndipo akatokea kijana mmoja wa CCM na kumchoma kisu kijana mmoja wa CHADEMA ambaye alifariki dunia papo hapo.
Hali hiyo iliwafanya wafuasi wa CHADEMA kushuka ili kutoa mawe hayo, ndipo akatokea kijana mmoja wa CCM na kumchoma kisu kijana mmoja wa CHADEMA ambaye alifariki dunia papo hapo.
Baada  ya  tukio  hilo, vijana wa CHADEMA nao walijibu mapigo kwa  kumshambulia  na  kumuua kijana huyo.
Picha zaidi zinatisha





Post a Comment