0


Wadau wangu faida ya kujichua ni ndogo kuliko athali zake! Miongoni mwa faida za kujichua ni kukojoa kwa h
araka (Kutoa shahawa) Hivyo utaweza kufurahisha nafsi na mwili. Lakini madhara yake ni makubwa sana kwa baadae! Kwani huathiri saikologia yako nakuona kupiga punyeto ni kutamu/bora kuliko kuingiliana kimwili! Mpiga nyeto akidumu na kupiga nyeto, kwa mwanaume atapata madhara ya kuua uume wake! Kwani mgandamizo wa mkono wake, huwa mkubwa zaidi kuliko angeingiza katika tupu ya mwanamke! Hivyo misuli 
inayochuliwa mara kwa mara, husinyaa na kushindwa kuiinua dhakari ya mwanaume, matokeo yake hata akiwepo mwanamke mbele yake, utaweka mate au mafuta katika mkono wake, ili apate kupasha kwa nyeto ya kimtindo ili dhakari isimame!!! Pia mpiga punyeto atapata maradhi ya kichwa sana. Kwani wakati wa kupiga nyeto, unahitaji utulivu wa hali ya juu sana! Unahamisha hisia kutoka zilipo na kuzileta mahali ulipo kisha unazituma katika ubongo kama unafanya Sexy! Kifupi unaudanganya ubongo wako, kuwa unafanya Sexy na fulani ambae hayupo! Akili unazozitumia hapo ni nyingi mno, hivyo unapodumu kufanya hivyo mara kwa mara, unaichosha akili na utaanza kupoteza kumbukumbu! Pia utasumbuliwa sana na maradhi ya magoti! Hasa kwa wale wapiga punyeto wanaokuwa wanasimama wima wakati wakipiga nyeto! Pia Punyeto inaondosha hamu ya kusexy na mwanamke! Kwani mpigaji punyeto hujidanganya kuwa akipiga punyeto anaweza kupata saizi ya Uke aitakayo, akitaka mnato anabana zaidi mkono wake, akitaka mlegezo anapunguza mkazo wa mkono wake! Lakini pia huona hapati gharama ya kumpa pesa mwanamke (Kuhonga) Pia halipi guest house, hapati Ukimwi/Gono/Kaswende/U,T,I kwa kupiga punyeto! Hivyo akishajishawishi katika akili yake, humuona mwanamke kwake hana maana kabisa! Kwani kaonja kalewa, anunue amwage?!!!
Na kwa upande wa mwanamke, yeye akiishiriki nyeto anakuwa sugu hatotosheka/kuridhika akifanywa peke yake, lazima atajichua ili akojoe, kama siyo hapohapo basi akiondoka kwa mwanaume atafanya hivyo. Mbali na kuwa sugu pia atakuwa hana hamu yakufanya mapenzi na mwanaume, ndiyo maana wanawake wengi wanaosagana huwa hawainjoi sana wafanyapo mapenzi na wanaume, ndiyo maana wana dada zao wakufanya nao starehe zao! Katika madhara kwa wanawake wanaopiga nyeto, wao watapata maradhi ya moyo (Presha) Watasumbuliwa sana na kichwa, watasumbuliwa na kiuno, na watalalamika maumivu ya mgongo! Kwa mwanamke aliezoea kufanya usagaji/kujichua, huona hiyo ndiyo burudani kubwa kuliko kujamiiana! Hivyo huwadharau wanaume na kuwatukuza wanawake wenzao! Lakini pia starehe ya kusagana ukiishiriki lazima itakuingiza katika ulevi ili uinjoi zaidi, hivyo hutumia pesa nyingi kunywa yeye na dada yake, ili wapeane burudani! Wanakuwa na wivu mkubwa kwa wanawake wenzao kuliko wanaume


Post a Comment

 
Top