0
  Uwezo wa kushindwa kumudu ndoa ni tendo la ndoa na hili tatizo linazidi kukua miongoni wa wanandoa na wapenzi wengi. Utafiti unaonyesha kuwa karibu ndoa 2 kati ya 5 zenye umri wa miaka 2 na kuendelea zinakabiliana na tatizo la kukosekana kwa kumudu vizuri tendo la ndoa. Aidha wanaume 3 kati ya 5 wanadai kukosa nguvu za kiume ikiwa wanawake kutokuathiriwa sana na upungufu wa tatizo ili.
 

Sababu za kukosa nguvu za kiume

  • Kupungukiwa protini na hivyo kukosa amino asidi mwilini
  • kula vyakula vya mafuta
  • magonjwa ya muda mrefu
  • magonjwa ya kisukari na pressure
  • pombe kupita kiasi na sigara
  • uchafu wa mwanamke au mahali linapotendeeka tendo kwa mfano hewa safi
  • kukosa muda wakuupumzika yaanii kufanya kazi sana na kuwa na muda mchache wakulala
  • kuwa na msongo wa mawazo
  • Kutokuwa na mzunguko mzuri wa damu mwilini, hasa sehemu za viungo vya uzazi kwa mwanaume.
  • Kutokuwa na kiwango cha kutosha cha homoni ya Testosterone



Kwa kuzingatia hilo, watafiti wa masuala ya uhusiano wa kimapenzi wamebaini aina mbalimbali ya vyakula ambavyo vina uwezo wa kumuongezea mtu nguvu ya kufanya tendo la ndoa.Vyakula hivyo ni hivi vifuatavyo: 

1.karanga
Karanga ni chanzo kikubwa cha kujenga protini mwilini. Karanga huwa na kiwango kikubwa cha amino asidi ambayo husaidia kuweka vizuri mfumo wa damu, hivyo kusababisha kuongezeka kwa kiwango cha ufanyaji mapenzi.
2.pilipili
PILIPILI-Pilipili unaweza kula hivyo hivyo au kuchanganya kwenye chakula inasaidia sana
- See more at: http://shiladeux.blogspot.com/2013/06/vyakula-vya-kuongeza-nguvu-za-kiume.html#sthash.4VKQ2Ov7.dpuf
 pia pili unaweza changanya kwenye chakula au ukala hivyo hivyo kwani zinasaidia mzunguko mkubwa wa damu kwa maana hiyo kufanya kuwa na hisia kali za mapenzi kwa hiyo pili pili ni chachu ya kuuamsha hisia


3.Ndizi 
Wakati unafikiria uwezo wa kufanya vema tendo la ndoa unatakiwa kuwaza juu ya uimara wa misuli ya mwili ambayo inatajwa kuwa ni sehemu kuu na yenye muhimu katika kujamiiana. Kwa msingi huo ulaji wa ndizi mbivu unatajwa kusaidia kujenga misuli mwilini na kumfanya mtu aweze kuwa hodari katika tendo la ndoa.
 
4.Pweza na chaza
 Aina hizi za samaki zinazovuliwa baharini huwa na madini ya zink na chumvi ambayo yanatajwa kusaidia uzalisha wa vichocheo vinavyohamasisha msisimko wa mwili wakati wa tendo la ndoa.
5.Chocolate
 
Chocolate inasaidia kuongeza stamina kwenye kufanya mapenzi kwasababu ina viambato vya phenylethylamine na alkaloid. Phenylethylamine ni kiambato kinachopelekea kujisikia vizuri, hasa wakati wa kufanya mapenzi na alkaloid huongeza stamina na nguvu wakati wa mapenzi.
6.Parachichi

chakula ambacho husaidia kuongeza uwezo wa mtu kufanya tendo la ndoa ni Parachichi. Tunda hili linauwezo mkubwa wa kuzalisha vitamini E ambayo husaidia katika uzalishaji wa homoni. Inatajwa kuwa watu wanaotumia tunda hili kwa wingi huwana msisimko mkali wa kimapenzi na kwa upande wa wanawake husaidia kuongezamajimaji yenye utelezisehemu za siri na hivyo kuzuia uwezekano wa kuchubuka wakati wa kujamiiana.

 

7. Vitunguu swaumu
 
Kitunguu saumu kina allicin, kiambato kinachosaidia mzunguko mzuri wa damu kwenye viungo vya uzazi. Kuwa na mzunguko mzuri wa damu kwenye uume ni sababu kubwa ya kuongeza stamina ya kufanya mapenzi.
8.Tikiti maji 
matikiti maji ni tunda muhimu sanna kwa kulinda ndoa inatakiwa walau kwa siku upate vipande viwili au vitatu na sasa yapo kwa wingi ushindwe wewe na ni muhimu ukala na mbegu zake
9.Maji
5.MAJI YA KUNYWA-inapendeza kunywa maji mengi kwa siku na mtu ajitahidi anywe hata zaidi ya lita tanao kama walivyoshauri wataalam wa mambo hayo. . . .itaendelea inshaallah kwa mawali coment hapo na utasaidika.
- See more at: http://shiladeux.blogspot.com/2013/06/vyakula-vya-kuongeza-nguvu-za-kiume.html#sthash.4VKQ2Ov7.dpuf
ni muhimu pia kwa kukuza uume na inashauriwa kunywa lita tano na zaid japo sio vyema kukaa na mkojo muda mrefu. maji pia usaidia kuondoa ugonjwa mwilini na homa za mara kwa mara.tikiti majihusaidia kuamasha hamasa mwili.Mwisho wa aina hizi za vyakula ni TIKITI MAJI ambalo linatajwa kuwa na virutubisho vingi vyenye uwezo wa kuusaidia mwili kuwa na nguvu za kutosha kufanya tendo la ndoa.
 
10.POMEGRANATE
Ni aina fulani ya matundamekundu yanayofananana na apple. Haya yatajwa kusaidia kuamsha mishipa ya fahamu na kuweka mawasiliano sahihi ya mwili na hivyo kumuongezea mtu uwezo kwa kufanya tendo la ndoa kwa hamasa kubwa.
 
11.MVINYO MWEKUNDU
Mvivyo mwenyekundu unatajwa kuwa na uwezo wa kuuchangamsha mwili na kuongeza msukumo wa damu, kiasi cha kumuondolea mtu uchovu kabla na baada ya tendo la ndoa, hivyo ni muhimu kunywewa hasa na wale ambao wanasumbuliwa na tatizo la kushindwa kurudia tendo.
 
12.MBEGU ZA MATUNDA
Mchangayiko wa mbegu mbalimbali za matunda, mfano tikiti, maboga husaidia kuondoa ACID mwilini na kumfanya mtu ajione ni mwenye afya njema.
 
 
 
 
MWISHO KABISA MAZOEZI YA MWILI NI MUHIMU SANA KWANI UFANYA KUTOKUCHOKA NA KUONGEZA NGUVU NA USIINGIE KWENYE TENDO LA NDOA BILA KUSHIIBA KWA SHIDA YEYOTE NIPIGIE 0754545195
 
5.MAJI YA KUNYWA-inapendeza kunywa maji mengi kwa siku na mtu ajitahidi anywe hata zaidi ya lita tanao kama walivyoshauri wataalam wa mambo hayo. . . .itaendelea inshaallah kwa mawali coment hapo na utasaidika.
- See more at: http://shiladeux.blogspot.com/2013/06/vyakula-vya-kuongeza-nguvu-za-kiume.html#sthash.4VKQ2Ov7.dpuf


5.MAJI YA KUNYWA-inapendeza kunywa maji mengi kwa siku na mtu ajitahidi anywe hata zaidi ya lita tanao kama walivyoshauri wataalam wa mambo hayo. . . .itaendelea inshaallah kwa mawali coment hapo na utasaidika.
- See more at: http://shiladeux.blogspot.com/2013/06/vyakula-vya-kuongeza-nguvu-za-kiume.html#sthash.4VKQ2Ov7.dpuf






PILIPILI-Pilipili unaweza kula hivyo hivyo au kuchanganya kwenye chakula inasaidia sana
- See more at: http://shiladeux.blogspot.com/2013/06/vyakula-vya-kuongeza-nguvu-za-kiume.html#sthash.4VKQ2Ov7.dpuflkkkj
PILIPILI-Pilipili unaweza kula hivyo hivyo au kuchanganya kwenye chakula inasaidia sana
- See more at: http://shiladeux.blogspot.com/2013/06/vyakula-vya-kuongeza-nguvu-za-kiume.html#sthash.4VKQ2Ov7.dpuf
PILIPILI-Pilipili unaweza kula hivyo hivyo au kuchanganya kwenye chakula inasaidia sana
- See more at: http://shiladeux.blogspot.com/2013/06/vyakula-vya-kuongeza-nguvu-za-kiume.html#sthash.4VKQ2Ov7.dpuf
PILIPILI-Pilipili unaweza kula hivyo hivyo au kuchanganya kwenye chakula inasaidia sana
- See more at: http://shiladeux.blogspot.com/2013/06/vyakula-vya-kuongeza-nguvu-za-kiume.html#sthash.4VKQ2Ov7.dpuf
PILIPILI-Pilipili unaweza kula hivyo hivyo au kuchanganya kwenye chakula inasaidia sana
- See more at: http://shiladeux.blogspot.com/2013/06/vyakula-vya-kuongeza-nguvu-za-kiume.html#sthash.4VKQ2Ov7.dpuf
PILIPILI-Pilipili unaweza kula hivyo hivyo au kuchanganya kwenye chakula inasaidia sana
- See more at: http://shiladeux.blogspot.com/2013/06/vyakula-vya-kuongeza-nguvu-za-kiume.html#sthash.4VKQ2Ov7.dpuf

Post a Comment

 
Top